• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Bumbuli District Council
Bumbuli District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Mahesabu
      • Maendeleo ya Jamii na Huduma ya Lishe
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Mahesabu
    • Kata
      • BAGA
      • BUMBULI
      • DULE B
      • KISIWANI
      • KWEMKOMOLE
      • MAHEZANGULU
      • MAMBA
      • MAYO
      • MGWASHI
      • MILINGANO
      • MPONDE
      • NKONGOI
      • SONI
      • TAMOTA
      • USAMBARA
      • VUGA
      • KWEMAKONKO
      • MBUZII
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Utalii
    • Viwanda
    • Biashara
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma
    • Ushauri katika Kilimo
    • Ushauri katika Mifugo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali na Utoaji Mikopo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Vitega Uchumi vya Halmashauri
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Makala
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Miundombinu, Maendeleo Mjini na Vijijini

Idara hii ina majukumu ya kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri. Malengo tajwa yatafikiwa kwa Idara kutekeleza kazi zifuatazo: -

  1. Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;
  2. Kupanga maendeleo ya miundombinu;
  3. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;
  4. Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;
  5. Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;
  6. Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;
  7. Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;
  8. Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;
  9. Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na
  10. Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.


Idara hii inaundwa na Sehemu tatu (3) kama ifuatavyo: -

  1. Sehemu ya Ujenzi;
  2. Sehemu ya Barabara; na
  3. Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini.


Sehemu ya Ujenzi:

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo: -

  1. Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;
  2. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;
  3. Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;
  4. Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;
  5. Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;
  6. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  7. Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;
  8. Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na
  9. Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.


Sehemu ya Barabara:

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo: -

  1. Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;
  2. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;
  3. Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;
  4. Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;
  5. Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;
  6. Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;
  7. Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;
  8. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  9. Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na
  10. Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.


Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini:

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  1. Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  2. Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;
  3. Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;
  4. Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;
  5. Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  6. Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na
  7. Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU March 24, 2025
  • UANDIKISHAJI WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA MWAKA 2023 December 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA July 06, 2023
  • WALIOCHAGULIWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 29, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • Rais Dkt. Samia azindua jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli

    February 24, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI BUMBULI WAPATIWA VISHIKWAMBI

    February 06, 2024
  • MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKRONIKI WA KUAJIRI 'AJIRA PORTAL'

    December 12, 2023
  • KIKAO KAZI CHA USALAMA MAHALA PA KAZI

    September 25, 2023
  • View All

Picha Jongefu

MFUMO WA MIKOPO YA 10% - NAMNA YA KUJISAJILI
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • FURSA ZA KILIMO CHA CHAI
  • USHAURI KATIKA MASUALA YA KILIMO
  • FURSA KATIKA MASUALA YA MIFUGO
  • FOMU YA MAOMBI MBALIMBALI
  • ELIMU YA UJASIRIAMALI NA UTOAJI WA MIKOPO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    02 KITONGOJI CHA UGUNGA

    Postal Address: S.L.P 111, BUMBULI

    Telephone: 0272977530

    Mobile:

    Email: ded@bumbuklidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli. Haki Zote Zimehifadhiwa.