• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Bumbuli District Council
Bumbuli District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Mahesabu
      • Maendeleo ya Jamii na Huduma ya Lishe
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Mahesabu
    • Kata
      • BAGA
      • BUMBULI
      • DULE B
      • KISIWANI
      • KWEMKOMOLE
      • MAHEZANGULU
      • MAMBA
      • MAYO
      • MGWASHI
      • MILINGANO
      • MPONDE
      • NKONGOI
      • SONI
      • TAMOTA
      • USAMBARA
      • VUGA
      • KWEMAKONKO
      • MBUZII
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Utalii
    • Viwanda
    • Biashara
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma
    • Ushauri katika Kilimo
    • Ushauri katika Mifugo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali na Utoaji Mikopo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Vitega Uchumi vya Halmashauri
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Makala
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KIKAO KAZI CHA TATHMINI YA VIGEZO VYA UTENDAJI KAZI (KPI)

Posted on: March 22nd, 2023

Divisheni ya Elimu ya Sekondari yafanya kikao kazi cha tathmini ya vigezo vya uendaji kazi (KPI) na utoaji wa tuzo kwa walimu na wanafunzi waliofanya vyema, tukio lililofanyika tarehe 22.03.2023 katika ukumbi wa shule ya Sekondari Mbelei


Kikao hicho kilihudhuriwa na Wakuu wa shule 29 za Sekondari za serikali na binafsi, Maafisa Elimu Kata 18, pamoja na Maafisa kutoka divisheni ya Sekondari. Mgeni Rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bumbuli Mhe. Amiri Shehiza akiambata na Kaimu Mkurugenzi Bw. Netson Masaki.

Aidha, tathimini ya matokeo ya kidato cha nne na upimaji kidato cha pili iliainishwa kwa kipindi cha miaka 3 mfululizo 2020-2022 ambapo ilionesha katika kipindi hicho hali ya ufaulu wa kidato cha nne imekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka na kuiwezesha Halmashauri ya Bumbuli kushika nafasi ya tatu kimkoa wakati kidato cha pili hali si nzuri ambapo ufaulu umeshuka kwa asilimia 5.5 ukilinganisha na matokeo ya 2021.

Akiongea na Maafisa hao Mwenyekiti wa Halmashauri amesema "anawapongeza walimu kwa jitihada wanazozionesha katika kuongeza juhudi za ufundishaji na upandishaji ufaulu wanafunzi, kuwa wavumilivu, kujitoa na kuwa waadilifu kwa kutoa huduma bora "

Afisa Elimu Sekondari Bw. John Mmbaga amesema katika kuongeza ufaulu Idara imeweka mikakati mbalimbali ambayo ni ufuatiliaji wa ufundishaji na ujifunzaji, kutoa mazoezi na mitihani ya upimaji mara kwa mara, vikao vya tathmini, msawazo wa walimu, kufuatilia utekelezaji wa mikataba ya utendaji kazi na kuisimamia, kuelimisha wazazi/walezi kushiriki na kutimiza wajibu wao wa kutoa chakula kwa watoto, kuthibiti utoro. Pamoja na hayo yote amesisitiza kuendelea kusimamia na kutoa mafunzo rekebishi kwa waalimu.

Aidha, Halmashauri ya Bumbuli inaishukuru Serikali ya awamu ya 6 kwa kuboresha miundombinu ya shule, kwa mwaka 2022/23 madarasa yamejengwa 64 umaliziaji wa madarasa 3 na Maabara 5. 


KAZI IENDELEE!!!


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU March 24, 2025
  • UANDIKISHAJI WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA MWAKA 2023 December 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA July 06, 2023
  • WALIOCHAGULIWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 29, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • Rais Dkt. Samia azindua jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli

    February 24, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI BUMBULI WAPATIWA VISHIKWAMBI

    February 06, 2024
  • MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKRONIKI WA KUAJIRI 'AJIRA PORTAL'

    December 12, 2023
  • KIKAO KAZI CHA USALAMA MAHALA PA KAZI

    September 25, 2023
  • View All

Picha Jongefu

MFUMO WA MIKOPO YA 10% - NAMNA YA KUJISAJILI
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • FURSA ZA KILIMO CHA CHAI
  • USHAURI KATIKA MASUALA YA KILIMO
  • FURSA KATIKA MASUALA YA MIFUGO
  • FOMU YA MAOMBI MBALIMBALI
  • ELIMU YA UJASIRIAMALI NA UTOAJI WA MIKOPO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    02 KITONGOJI CHA UGUNGA

    Postal Address: S.L.P 111, BUMBULI

    Telephone: 0272977530

    Mobile:

    Email: ded@bumbuklidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli. Haki Zote Zimehifadhiwa.